

Lugha Nyingine
河南郑州:聋哑母亲剖宫产 护士全程写字沟通
Naibu mkurugenzi mkuu wa operesheni wa Shirika la Kimataifa la Uhamiaji (IOM), Bi. Ugochi Daniels, ameeleza wasiwasi kuhusu misukosuko ya tabianchi na wakimbizi inayoendelea nchini Somalia, baada ya kumaliza ziara ya siku nne nchini humo.
Bi. Ugochi Daniels amesema kupitia taarifa iliyotolewa Alhamisi mjini Mogadishu kuwa, watu wa Somalia wanakumbwa na athari mbaya zaidi za msukosuko wa tabianchi, ambazo zinasababisha wakimbizi wa ndani, shinikizo kwa miji na mivutano ya kugombea rasilimali zinazopungua siku hadi siku.
Kwa mujibu wa ofisa huyu, Wasomali wanakabiliwa na ukame usioisha, mafuriko na mivutano, ambavyo vimesababisha watu milioni 3.6 kukimbia makwao huku karibu nusu ya watu wote wa nchi hiyo wakiathiriwa na majanga yanayohusiana na tabianchi.
Miujiza ya Wanyamapori: Kutoka Mbuga Tambarare za Afrika hadi Uwanda wa Juu wa Qinghai -Tibet, China
Mandhari ya Kipekee ya Karst katika Mkoa wa Guizhou yavutia watalii
Tamasha la kimataifa la densi lafunguliwa katika Mkoa wa Xinjiang, China likiwa na maonyesho 52
Wakulima wa China wawa na pilikapilika za uzalishaji wa kilimo katika kipindi cha Dashu
people.cn © Tovuti ya Gazeti la Umma